Wednesday, July 16, 2014

JE WAJUA ALICHOZUNGUMZA BABA YAKE NUH BAADA YA KUSIKIA KUA MWANAWE AMEJICHORA TATOO YA SHILOLE??...BOFYA HAPA

Alichokisema Baba yake Nuh
baada ya kusikia mwanae
kajichora tatoo yenye jina la
Shilole.
Wiki kadhaa zimepita tangu Nuh
Mziwanda aamue kujichora tatoo
yenye jina la mpenzi wake Shilole leo
baba yake mzazi kazungumza juu ya
hatua hii aliyoamua kuifanya mtoto
wake Nuh kwa upande wake.

No comments:

Post a Comment