Saturday, May 10, 2014

+18:SEHEMU ZENYE UTAMU KATIKA TENDO LA NDOA...

Kwa bahati nzuri wanawake wana maeneo 5 ambayo
huwawezesha kusikia utamu wa kufanya ngono tofauti na
wanaume.
Sehemu maarufu ni kisimi na G spot lakini kuna eneo lingine
linaitwa AFE ambalo liko mwishoni kabisa mwa uke na vile
vile kuta za uke bila kusahau mwanzo wa uke.
Mwanamke huweza kupata utamu wa tendo hili takatifu
kwenye maeneo yote hayo ikiwa mpenzi wake anajua
kuwajibika, sio kufanya mapenzi kwa muda mrefu tu bali pia
kujua kucheza na uume wake. Pamoja na utundu wake pia
wewe mwanamke unatakiwa kuwa wazi na huru kumuelekeza
ikiwa kagusa kusiko au kapatia kunako utamu.
Utamu wa maeneo yote hayo ni tofauti na unazidiana kati ya
mwanamke mmoja na mwingine.
Hebu sasa tutazame hizo sehemu tofauti za utamu wa ngono
kwa wanawake.
Kisimi
Wanawake hupata utamu wa kisimini kwa njia ya kusuguliwa,
kushikwa, kuchezewa kwa ulimi, kidole au kichwa cha uume.
Utamu wa mahali hapa hupatikana haraka na hufanya
usitamani tena tendo hilo kwa muda fulani (Kuanzia dakika 3
– 15) na kikiguswa tena huweza kumpa mwanamke maumivu
fulani hivi. Baadhi ya wanawake huwa hawawezi kuendelea
tena na tendo mara baada ya kuchezewa kisimi.
G-spot
Utamu wa mahali hapa ni wa nguvu sana na wanawake wengi
huishiwa nguvu kwa muda wanapoguswa eneo hili. Nguvu
hizo huchukua muda wa dakika 20 – 45 kurejea, na zikirejea
hamu haiishi. Hivyo wakati wewe umezimia mpenzi wako
anaweza kuendelea na mchezo na nguvu zikirudi basi na
wewe unaendelea kutafuta goli lingine.
Mwanzo wa uke
Utamu wa mahali hapa haumpotezei mwanamke hamu, kwani
hafiki kileleni bali anasikia utamu fulani hivi. Ili mwanamke
aweze kufika kileleni, mwanaume anatakiwa aingize uume
ndani zaidi ili aweze kugusa eneo la G-Spot na kuta za uke.
Kuta za uke
Utamu wa eneo hili unapatikana toka mwanzo uume
ulipoingizwa, na kadri mnavyoendelea kufanyana ndivyo
utamu unavyozidi kuongezeka na hatimaye mwanamke
hujikuta akifika kileleni.
Mwisho wa uke (karibu na njia ya uzazi)
Utamu wa eneo hili hupatikana endapo uume wa mpenzi
wako utagusa mwisho wa uke. Kwa kawaida mwanamke
husikia maumivu flani anapoguswa eneo hili lakini wakati
huo huo bado anapenda aendelee na wakati mwingine
anaweza kumuomba mpenzi wake afanye kwa nguvu. Pia
mwanamke anaweza kutokwa na damu endapo ataguswa eneo
hilo.
Ewe mwanamke, hakikisha unamruhusu mpenzi wako kufika
huko ikiwa mnaaminiana, mko kwenye uhusiano wa
kudumu, msafi kiafya na uko tayari kuwa mama endapo
mpenzi wako atateleza na kuachia kidogo kwani eneo hili lipo
mlangoni kabisa mwa njia ya uzazi.


Posted via Blogaway

No comments:

Post a Comment