Thursday, August 14, 2014

Dunia ina mambo...kampuni moja jaman yatengeneza midoli inayofanana na mwanamke hadi sehemu nyeti...chek hapa picha

Dunia inamambo Kampuni moja ya nchini Japan imedai kufanikiwa
kutengeneza midoli ya ngono ‘sex dolls’ yenye
muonekano halisi wa mwanamke ambayo huwa na
ngozi ya mwili kama ya binadamu na macho kama
ya ukweli.
Mdoli wa ngono
Orient Industry imesema ni ngumu kuitofautisha
midoli hiyo na msichana halisi pale unapoitazama
kwa mara ya kwanza.
Midoli hiyo imepewa jina la ‘Dutch Wives’, na
matangazo ya midoli hiyo yanasema kuwa iwapo
mwanaume akifanya nayo mapenzi hawezi
kumtamani mwanamke halisi tena. Bei ya midoli
hiyo ni £1,000 ( zaidi ya shilingi milioni 2.7) kwa
kila mmoja.
Midoli hiyo imetengenezwa kwa kuweka viungo
ambavyo vinamfanya mtumiaji kuigeuza katika
position atakayo.

No comments:

Post a Comment