Thursday, August 14, 2014

Je wajua inbox za fesibuku zipo vipi? Bofya hapa kuchek

HIZI NDIO INBOX YA WANAUME
WENGI WA FACEBOOK ILIVYO
Me: mambo dada
Dada: mm mzma cjui ww
Me: mm poa tu, nmependa prfl pic
yako
Dada: hasant
Me: ndo ww nn, maana daah
umejaaliwa
Dada: ndo mie huyo, kwan vp??
Me: basi tu mungu kakupendelea
sana, unaish wap,?? mm nakaa
kijitonyama
Dada: nakaa magomeni mikumi,
Me: umeolewa
Dada: wala, naishi mwenyewe
Me: vp naruhusiwa kuja
kutembea??
Dada: akaah kwangu hawaj
wanaume!!
Me: heee kwann ss?? Au hutaki
wagen.
Dada: basi tu, nmeweka sheria
zangu.
Me: ok, unapiga mishe gani hapa
mjini?
Dada: nnabiashara zangu tu
nafanya.
Me: basi tafuta siku tuonane,
tuongee, tujuane, maana mm
nimekuelewa sana.
Dada: mmh ww kaka una mambo,
mm naogopa kukutana na watu
nisiowajua.
Me: sasa c ndo tunajuana hivi,
Dada: mhhh haya ntakupa namba
yangu kesho
Me: ok, ila tangu tunachat hapa
hali yangu si nzur mwenzio
Dada: unaumwa au??
Me: hamna hapa babu
kachachamaa sana, sijui anashida
gani
Dada: mmmh is umpeleke. Kwa
mwenzake
Me: mwenzake is ndo ww jamani
Dada: akaaaah
Me: umevaaje kwan hapo
mrembo??
Dada: kanga na chupi, maana ndo
nimetoka kuogopa,
Me: aaaiiish dada unaniumiza
jamani
Dada: pole jaman kwan unaumia
sanaaa???
UNAMAWAZO GANI JUU YA INBOX
KAMA HIZI? AU NDIO NGOZI NYEUSI
YAWAZA MAPENZI TU?
usisaha kushare watu waone
mautumbo yao wanavyochat inbox
na mademu wasiowajua

No comments:

Post a Comment