Saturday, September 13, 2014

BREAKING NEWS:AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA POSTA NJOMBE

inasemekana chanzo cha ajali hii ni baada ya gari aina ya canter yenye namba za usajili T 541 BTW kutaka kui overtake gari aina ya starlet yenye namba za usajili T239 BWU ndipo ilipoacha njia na kuingia mtaloni....hamna kifo kilichotokea zaidi ya dereva wa canter kuumia..

Bofya hapa kuungana nasi kwa facebook

No comments:

Post a Comment